Friday, May 22, 2009

Dual citizenship & reaction ya wabongo

Waungwana,
katika ku vinjari blog ya brother Michuzi kuna "clip" ya hotuba ya Mhe. raisi J.K. alipokutana na wa-bongo wa LA. IN response to hotuba yake, wadau wametoa "comments" kibao (- takribani 59) zinazohusu clip hiyo ambapo pamoja na kuwa kuna baadhi ya waliotoa mawazo ya maana, nyingi ya hizo comments ni madongo kwa raisi.
Sasa niweke wazi kuwa, naishi Dar, na hivyo sikuwepo kwenye mkutano! Uelewa wangu ni kutokana na ninavyolijua hili swala (ambalo mjadala wake haukuanza leo) hiyo "clip" na maoni ya watu kuhusian na hiyo "clip".
Nianze tu kwa kusema kuwa; ni maoni yangu kuwa madongo mengine kwa kweli hayakustahili.
Nilichoelewa kutokana na nilichoona na kusikiliza kwenye hiyo "clip" ni 3 things: 1. Hoja ya uraia wa mchi mbili haikupokelewa vizuri na "wasomi" wa hapa nchini - note the quotes. 2. Ni maoni yake Raisi kwamba hoja hii bado ina "merit" and 3. Amesema "Tutaendelea kufundishana na kueleweshana..." translation... bado kuna kazi ya kueleweshana na kwamba the debate is still open and very much on the table. Sikusikia Mhe. raisi akisema this issue is a done deal - and the decision has been reached; na wala sidhani kama amesema kuwa hakubaliani na wazo la dual citizenship. IN fact nimesikia akisema kuwa anaona hii issue ina "merits". Kwa upande mwingine, ni ukweli kuwa ; raisi alikuwa akitoa "briefing" of what is going on here in Tanzania (kama ambavyo maraisi wengine wamekuwa wakifanya walipokuwa wakija na kukutana na waTz). Sidhani kama context ilikuwa kwa yeye kuja na kujaribu kuwashawishi watu wa LA ku-"buy" anything - aidha kukubaliana na namna anavyoongoza au whatever! I think nia ilikuwa kupeana taarifa. Kwa mtaji huo, hayo madongo kwamba raisi hakutoa point n.k sioni uhalali wake. Nadhani ingekuwa halali kusema "raisi hakutuambia "tulilotaka kusikia"... - I think that would have been fare.

Baada ya kusema hivyo, turudi kwenye hili swala la dual-citizenship!
Hili swala halikuanza leo (mwaka 1994 tulikuwa tunalizungumzia... leo 2009 bado linazungumziwa! And so it has been a long time... too long if you ask me. Lakini, ni mawazo yangu kuwa unless wadau (na hasa tunaodhani hili linatuhusu zaidi) tunajaribu kujadili hoja hii kwa kina na kwa uwazi na kuishia "pazuri" nadhani tutaendelea kutupiana madongo na kulaumiana hadi tufikie umri wa kustaafu, vijana wetu nao watakuja na watendelea kujadili... a typical UNATO! KUNA umuhimu mkubwa kwa "wasomi" kujadili hili swala kwa undani na upana wake - sio tu kwa faida yetu, bali hata kwa wakina "Membe" ambao inasemekana wamefika mahali hawana point za kuendelea kutetea hoja hii. To save ourseleves form unending discussions, kuna umuhimu sana kwa "wasomi' (hasa walio in diaspora - kwani linatuhusu zaidi); kulijadili hili na ikiwezekana, mjadala huo kuishia kwenye sort of a "white paper" on dual citizenship specifically pertaining to our Tanzanian context. Nimeishi Marekani kwa miaka takribani 14. Watoto wangu wamezaliwa US (yaani ni wamarekani)... na leo naishi Dar (mwaka wa pili sasa). Hii issue inanihusu directly! lakini nashawishika kuamini kuwa unless tupo tayari kuifanyia kazi... we will be wasting our time.

On a different note kuna hili swala la uchumi, na role ya wazawa in diaspora Vs wageni (baadhi wamewaita "maspana boy") wanaokuja "kuwekeza" hapa nchini. Yes... ni wazi hapa bongo, kuna tofauti kubwa sana kati ya local investors na wageni - I would say the scale is 1/1000 in favor of wageni! This is NOT good! and for lack of a softer language - totally unacceptable. KInachotokea sasa is what amounts to a transfer of economic power from the indigenous to foreigners (foreignization of our economy). Hapa Dar, ardhi imefika $300,0000 - $1,mill kwa kipande kidogo cha kujenga... who buys? foreigners! Matokeo wazawa wanasukumwa pembezoni mwa mji - wenyewe wanasea "kumwamishia mtu Boko"! Kuna sababu nyingi zinazopelekea hali hii, ikiwa ni pamoja na ukosefu wa matayarisho to the so called a "globlobalized economy". Hii ina jionyesha katika namna nyingi, Lakini, nadhani kilicho wazi zaidi ni swala la ukosefu wa capital kwa wazawa (both in fiscal and in human terms). YOU see... it is obvious that we as indigenous lacks human capital... our human capital ni kiduchu ile mbaya. On the other hands, wageni wanakuja hapa and they are "blessed" in both of those two terms! They are loaded with cash, and they arrive here very focused on what they are trying to do, to what ends and how they are going to play the game etc. Add this to the fact that the money they come with allow them to "buy" so much... in fact so much more than what they could get in their own country. Sasa Wageni loaded in all sense.. wazawa watupu! Na pamoja na ukweli kuwa kuna juhudi zinazofanyika kujaribu japo kusaidia, lakini pia ni ukweli kuwa juhudi hizo may be too little too late + the fact kuwa the majority of wabongo ARE clueless of what is going on! Matokeo ndiyo hayo... wazawa kukosa ubavu wa kushindana na wakina "Von Hoit". Sasa kuna mambo kadhaa yanayopelekea hali hii... probably a topic by itself - na hivyo tusiende sana huko...
Bottom line: Ni umuhimu wa "wasomi" hasa those in diaspora, kufikiria namna ya kuweka mikakati ya kuja kujichukulia nchi yao kiuchumi. Swala la uraia wa nchi mbili ni hoja - tena muhimu tu. Lakini, nadhani la muhimu zaidi ni kwa "wasomi" kuweke kipaumbele pale panapostahili. Nadhani kipaumbele (atleast kwangu) ni kwa kila msomi kufikiria namna ya kukaa "mkao wa kula" - Please... SINA maana ya wizi na ufisadi - that is trash mindset! Ninachokisema ni kwamba; sidhani kuna faida yoyote kwangu binafsi, kupigania u-dual citizen wakati ambapo bado sina mpango wowote wa ku "take advantage of my current status" kama mTz niliyefunguka macho japo kidogo. Ninachokisema ni kwamba... kwa MTz unaishi US, UK, JP or wherever ughaibuni.... Umetembea na kuaona wengine wanaishi vipi , na wanakabiliana vipi na maisha yao. Kwa hilo tu, tayari una nafasi kubwa ya kuingia uwanjani na - kwa pigo moja; to make a huge play and make a difference (at the same time); kuliko 97.5% ya watanzania ambao wapo hapa Bongo, hawajawahi kutoka na wala hawana mpango!
My wish ni kwa sisi wabongo kupunguza "uswazi" na kuanza kudiscuss "real" issues ambazo "control yake ipo mikononi mwetu! issues that we can have a direct and an immediate impact! Nionavyo mimi (as much as I would like for it to be otherwise) hili swala la dual-citizen binafsi sina control nalo (hata kama ningetaka...mimi si mmbunge na wala simfahamu mmbunge yeyote kiasi hicho). Sasa naweza kuamua kuendelea kupiga kelele na mwishowe nitaishia kutukana! And still do not think I will get to a point that I will see myself in control of the outcome - or even the timing of that outcome! Wakti huo huo, ninaamini my exposure to how "others" are "doing it" inaweza kunisaidia japo kuandika ka "project" katakochoweza kuniweka pazuri - while trying to set myself, my family - and who knows - my contry to a better life!
Waungwana... This bongo place still have lots of "kero". Jamaa mmoja ame-comment kuwa harudi Bongo kwa kuwa bongo "kuna mbu wengi sana" - LOL.... OK tha is true...BUT hivi kweli siwezi kukaa chini nikatafuta namna ya kuja - japo kujaribu kupunguza hao mbu? I mean... hivi hakuna ka-model mahali naweza kukachanganua na kukaweka sawa kidogo japo nikaja hapa nikafanya kitu?
In anyway... I am just thinking aloud - thoughts that probably amounts to nothing... but what do you think?
* and by the way (just that you know)... it is possible to live in Bongo and significantly minimize uwezekano wa wewe kuumwa na hao mbu - thought I should point out - LOL
Peace