Pamoja na kuwa kuna mchecheto wa Bunge unaoendelea hapa Bongo, swala la kashfa ya benki kuu limeendelea kuchukua kuzito wa juu katika magazeti mbali mbali ya hapa bongo.
Aidha kilichoshangaza kidogo ni ubabe wa mheshimiwa (gavana) wa BOT ambaye baada ya ukimya mrefu aliibuka na kusema kuwa hatajiuzulu kwa kuwa “haoni kosa alilolifanya”
- Swali ni … kuna ugumu gani kwa mzee wetu (gavana) kutambua kuwa “uwajibikaji” si lazima kosa liwe limehakikishwa. Ukweli ni kuwa hata kama yeye bnafsi haku “gandamizaga” hata senti moja! Mtaji wa watu ku-"chomoa" kitu kidogo yeye akiwa kinara, unatosha kabisa kwa yeye japo kuchukua likizo ya kiutawala - ili kutoa nafsi kwa wakaguzi (wa nje) kufanya kazi yao. Kwa kufanya hivyo sio tu angetunza heshima yake, na sifa ya uaminifu ambayo inaonekana ni muhimukwake - bali pia ingesaidia kujenga dhana nzuri ya uwajibikaji katika jamii yetu. badal yake mzee ka“ngangania” na kusema hatoki na kuw ataendelea "kugandamizaga" hadi mwisho… kwa faida ya nani?
- Kwani hakuna utaratibu ambapo ungeruhusu kwa yeye kuji-weka pembeni (japo kwa muda) na iwapo itahakikishwa kuwa madai ni uzushi – ataweza kurudi kazini - only this time akiwa amejikusanyia "equity" zaidi toka kwa wadau? Kwa mtu aliye kwenye nafasi kama yake – that would have been the “gentleman’s” way! Na kwa kweli - zaidi ya "woga" sioni mzee ata-lose nini kwa kujiengua "kuwaachia wakaguzi wafanye vitu vyao. Kwa ku"ngangania" inapelekea kwa baadhi yetu ambao hatuna "inside" information kudhani kuna kitu mzee anaficha"ga"
Peace out!
Sunday, July 15, 2007
Wednesday, July 04, 2007
Nipo Bongo!!!
Waungwana,
Hayawi hayawi - huwa!!!
Hatimaye nipo Bongo!!! Unaweza kujiuliza -vipi safari kuchukua muda mrefu hivyo? Well - unajua tena "kuku mgeni...."
TUliwasili salama (By the way...) kuna walioulizia kama hii safari ni jumla au likizo. Jibu ni kuwa - inategemea na hali. Baada ya kuishi US kwa takribani miaka 13 na ushee...nilianza safari za kuja TZ kila mwaka kwenye 2004. Kwa namna fulanai nilishawishika kuwa kuna nafsi nzuri zaidi ya kufanikiwa "hapa" kuliko US... ambapo bila shaka yoyote ni mahali pazuri kuchangamka (iwapo una kazi, na makaratasi yamekaa vizuri) Of course nilifanikiwa kupata "ganda" na nilikuwa na kazi nzuri + everything that constitute what they call an "American Dream". Tatizo nini kuwa diraa ya usoni (uzeeni - baada ya ajira) kwa kweli ilizidiwa na dira ya usoni - iwapo mtu utaweza kufanikiwa hapa Tz!
Well.... enough of my blah blah!
Kama nilivyosema..."Kuku Mgeni..." Kuna kujifunza mengi sana sana! Labda niane kwa kusema tu... KUNA TOFAUTI KUBWA sana kati ya kuja hapa likizo, nakuja hapa kwa minajili ya kuishi! Two VERY different animals. Likizo..mtu unakuja na vi-$$ vyako vya kutosha wiki 2, "unatia vurugu" mjini - na unaondoka Just when the "$$-ometer" "thingy" starts to dip!!!. Unapohamia... things are different. All of a sudden you will have to think of things like housing, ambayo inakuja na vitu vyake (LUKU,maji n.k), Healthcare (ambayo kwa wanaojaribu kujiajiri kama mimi -it is a very different ball game), Hapo hujazungumzia purukuhani za "Port" ambapo so far it has taken me literally 7 weeks to clear one car (and still do not have it!!!) + the other one is here!!!.
So... utaona, kwa kweli sikuwa na muda wa kukaa chini na kujaribu ku-blog.. was too busy nursing my wounds (bruised from the landing:)).
Sasa tafadhali usitafsiri maelezo haya kama majuto ya kurudi nyumbani. YES it is hard... BUT I still believe IT IS ALL worth it!!! Kuna vitu ambavyo ninajifunza - na hakuna mtu aliyewahi kunifahamisha... So some of the frustrations ni kwa sababu ya kutokujua - mtu unkwenda tu kama kipofu - kujikuta unajigonga gonga , nahapo hujaweka frustrations zinazoletwa na "wajanja" wachache wanao "spend their entire life" tyring to think on how they can get a piece of your little pie... "si umetoka mtoni ndugu?... Kama Saimon alivyodokeza... kuna watu wananusa kujua mtu aliyetoka majuu (laugh..:))
IN anyway... encourage me... talk to me... comment ANDmore important.. Lets learn together!
Ned
PS. Msangi... samahani sikuweza kuwasiliana na wewe kabla sijaondoka... ilikuwa purukushani nguo kuchanika - Nisamehe bure bure ndugu yangu!
Hayawi hayawi - huwa!!!
Hatimaye nipo Bongo!!! Unaweza kujiuliza -vipi safari kuchukua muda mrefu hivyo? Well - unajua tena "kuku mgeni...."
TUliwasili salama (By the way...) kuna walioulizia kama hii safari ni jumla au likizo. Jibu ni kuwa - inategemea na hali. Baada ya kuishi US kwa takribani miaka 13 na ushee...nilianza safari za kuja TZ kila mwaka kwenye 2004. Kwa namna fulanai nilishawishika kuwa kuna nafsi nzuri zaidi ya kufanikiwa "hapa" kuliko US... ambapo bila shaka yoyote ni mahali pazuri kuchangamka (iwapo una kazi, na makaratasi yamekaa vizuri) Of course nilifanikiwa kupata "ganda" na nilikuwa na kazi nzuri + everything that constitute what they call an "American Dream". Tatizo nini kuwa diraa ya usoni (uzeeni - baada ya ajira) kwa kweli ilizidiwa na dira ya usoni - iwapo mtu utaweza kufanikiwa hapa Tz!
Well.... enough of my blah blah!
Kama nilivyosema..."Kuku Mgeni..." Kuna kujifunza mengi sana sana! Labda niane kwa kusema tu... KUNA TOFAUTI KUBWA sana kati ya kuja hapa likizo, nakuja hapa kwa minajili ya kuishi! Two VERY different animals. Likizo..mtu unakuja na vi-$$ vyako vya kutosha wiki 2, "unatia vurugu" mjini - na unaondoka Just when the "$$-ometer" "thingy" starts to dip!!!. Unapohamia... things are different. All of a sudden you will have to think of things like housing, ambayo inakuja na vitu vyake (LUKU,maji n.k), Healthcare (ambayo kwa wanaojaribu kujiajiri kama mimi -it is a very different ball game), Hapo hujazungumzia purukuhani za "Port" ambapo so far it has taken me literally 7 weeks to clear one car (and still do not have it!!!) + the other one is here!!!.
So... utaona, kwa kweli sikuwa na muda wa kukaa chini na kujaribu ku-blog.. was too busy nursing my wounds (bruised from the landing:)).
Sasa tafadhali usitafsiri maelezo haya kama majuto ya kurudi nyumbani. YES it is hard... BUT I still believe IT IS ALL worth it!!! Kuna vitu ambavyo ninajifunza - na hakuna mtu aliyewahi kunifahamisha... So some of the frustrations ni kwa sababu ya kutokujua - mtu unkwenda tu kama kipofu - kujikuta unajigonga gonga , nahapo hujaweka frustrations zinazoletwa na "wajanja" wachache wanao "spend their entire life" tyring to think on how they can get a piece of your little pie... "si umetoka mtoni ndugu?... Kama Saimon alivyodokeza... kuna watu wananusa kujua mtu aliyetoka majuu (laugh..:))
IN anyway... encourage me... talk to me... comment ANDmore important.. Lets learn together!
Ned
PS. Msangi... samahani sikuweza kuwasiliana na wewe kabla sijaondoka... ilikuwa purukushani nguo kuchanika - Nisamehe bure bure ndugu yangu!
Subscribe to:
Posts (Atom)