Friday, March 02, 2007

The Scoop

Waungwana,
Hata sina uhakika kama bado nina wasomaji - for it has been a very long time since i posted my last article. Kwa baadhi ya wanaojali - swali ni "Kulikoni"? Well here is the scoop: After 13 years in the US, nipo katika pilika pilika za kurudi Bongo!
Najua kuna mnaojiuliza "what happened"! Well nothing reall... except the fact that My wife and I thinks it's about time we go back na kuona mambo yatakwenda Je.
Now, We are well aware of the fact kuwa Tz sio US. na kwamba maisha yanaweza kutugonga vibaya sana - unajua tena bongo.
Probably of encouragement ni ukweli kuwa - hakuna anayenifukuza hapa, kama ni kurudi - nina uwezo wa kutoka na kuingia ninavyopenda.
Aidha, ni ukweli kuwa - huko bongo,majority - bado wanasota sana. Depending on whether you see a glass half full OR half empty - that is either good news OR bad news. It is kind like the story of 2 shoe salesmen!

So that's it!
Safari ni April 20th - wazee wa jiji - wakina Michuzi tafadhali tusikimbiane:) Mkitona mitaani "vijana wanatuingiza mjini" tafadhali mje kutuokoa! Aidha tutahitaji sana kusafishwa macho kuondoa matongotongo ya "ughaibuni" - watu wa kuja tuna shida zetu!
Ama, nimepania siku moja kupiga hodi hapo "Photo point" kuja kuomba maji - unajua tena kuku mgeni... Hivi mpo hapo "Shoppers" ua....?

Talk to me